UWANJA WA VIJANA UMEPATA UFUMBUZI WA MAMBO YAFATAYO;
- Tanzania kuingia kwenye nchi ya viwanda
- Tatizo la ajira kwa vijana
- Tatizo la vijana kukimbilia mjini hasa jiji la Dar Es Salaam.
- Tatizo la migogoro kati ya wakulima na wafugaji.
- Tatizo la migogoro ya ardhi nchini.
- Tatizo la mfumuko wa bei ya mazao ya chakula nchini.
- Tatizo la Ukatili wa kijinsia kwa wanawake na watoto.
- Tatizo la ndoa za utotoni
- Tataizo la foleni za magari jijini Dar Es Salaam.
- Tatizo la kujaa kwa maji na kuziba mifereji jijini dar es Salaa wakati wa mvua.
- Tatizo la kuongeza na kupanuka kwa mto msimbazi na kuleta madhara kwa wananchi.
- Tatizo la watoto mbwa mwitu au panya Road.
- Tatizo la mafuriko nchini na kubomoka kwa madaraja sehemu mbalimbali.
- Tatizo la kuvunjika kwa ndoa za vijana nchini.
- Tatizo la kuongezeka kwa kesi mahakamani nchini.
- Magereza ya Tanzania yawe na uzalishaji kupitia wafungwa wao.
No comments:
Post a Comment