Thursday, September 12, 2019

UWANJA WA VIJANA UMEPATA UFUMBUZI WA MAMBO YAFATAYO;


UWANJA WA VIJANA UMEPATA UFUMBUZI WA MAMBO YAFATAYO;

  1. Tanzania kuingia kwenye nchi ya viwanda
  2. Tatizo la ajira kwa vijana
  3. Tatizo la vijana kukimbilia mjini hasa jiji la Dar Es Salaam.
  4. Tatizo la migogoro kati ya wakulima na wafugaji.
  5. Tatizo la migogoro ya ardhi nchini.
  6. Tatizo la mfumuko wa bei ya mazao ya chakula nchini.
  7. Tatizo la Ukatili wa kijinsia kwa wanawake na watoto.
  8. Tatizo la ndoa za utotoni
  9. Tataizo la foleni za magari jijini Dar Es Salaam.
  10. Tatizo la kujaa kwa maji na kuziba mifereji jijini dar es Salaa wakati wa mvua.
  11. Tatizo la kuongeza na kupanuka kwa mto msimbazi na kuleta madhara kwa wananchi.
  12. Tatizo la watoto mbwa mwitu au panya Road.
  13. Tatizo la mafuriko nchini na kubomoka kwa madaraja sehemu mbalimbali.
  14. Tatizo la kuvunjika kwa ndoa za vijana nchini.
  15. Tatizo la kuongezeka kwa kesi mahakamani nchini.
  16.  Magereza ya Tanzania yawe na uzalishaji kupitia wafungwa wao.

No comments:

Post a Comment