Friday, September 13, 2019

SHUGHULI ZA UZALISHAJI MALI;

·        
  •       Uwanja wa vijana pia unajishughulisha na shughuli za uzalishaji mali kwa kutumia njia mbalimbali kama vile;
a)      Kuuza na kununua mawazo ya biashara (Miradi).
b)    Kufanya biashara za aina mbalimbali na watu ambao wamebanwa na majukumu mengine mfano; mtu anaweza akatoa pesa zake kiasi chochote tunamzalishia faida kwa mwezi kuanzia 10% - 15% hadi 20% na mtaji unabakia palepale.
c)   Unaweza ukatoa kitendea kazi mfano gari lenye thamani ya Tsh 4,000,000/= tunakuzalishia Tsh. 6,000,000/= ndani ya miezi 12 na gari linabakia kuwa letu.
d)     Tunaongeza vipato vya watu kutokana na rasilimali walizonazo au hata kama hana.
e)   Tunawasikiliza watu mahitaji yao ya aina mbalimbali.
f)   Tunawaandaa vijana wanaotaka kuanza maisha ya kujitegemea, pia na kuwachagulia njia sahihi ya maisha.
g) Tuna uwezo wa kuzigeuza rasilimali za mtu kuwa mtaji.

  •  Tunatoa elimu za aina mbalimbali kama vile;
a)      Ujasiriamali na Uchumi, mkopo na mahusiano.
b)      Mchango wa mradi au biashara.

  •  Tunatoa Huduma kwenye biashara/miradi kama vile;
                                                             i.            Kukagua eneo la mradi au biashara kama lipo mahali sahihi au sio sahihi.
                                                             ii.            Kupima mradi au biashara kama huduma zake zina viwango au hazina.
                                                           iii.            Kupima wafanyakazi wa mradi/ Biashara kama wanafaa au hawafai.
                                                           iv.            Kukagua bidhaa zinazouzwa au kuzalishwa hapo kama zina viwango au hazina viwango.
                                                             v.            Kupima viwango vya huduma vinavyotolewa kwenye biashara/mradi kama vipo sawa au sio sawa.

  •  Tunatoa huduma mpya zifuatazo kama vile;
                     i.  Weka pesa, pata pesa ndani ya masaa 24, siku, wiki, mwezi.
                     ii.  Tunawaandaa watu wanaokaribia kustaafu kazi na kuwaingiza katika ujasiriamali.
                    iii.   Tunawaandaa watu wanaotarajia kupata pesa za urithi au pesa amabazo hawajawahi kuzishika kwa pamoja
                    iv.  Tunashughulika na kuwabadilisha watoto tabia na vijana walioshindikana (Watukutu).
                     v. Tunamuandaa na mtu anayetakata kuanzisha mradi mpya au biashara.
  •  Tunafanya vitu vya tofauti kama vile;
a) Tuna uwezo wa kuzigeuza changamoto, kua mradi
b )Tunabuni vyanzo vya mapato, kuanzia mtu binafsi kua mtaji.
c) Tuna uwezo wa kuzigeuza rasilimali za mtu binafsi kua mtaji.
d) Tuna uwezo wa kumrudisha mwanandoa aliyekimbia familia yake.
e) Tunatoa ushahuri juu ya mambo mbalimbali.
f)  Tunatafsiri ndoto mbalimbali.
g)  Tunatoa majibu ya vipaji vya watoto.
h)   Tunawakaribisha wafanyakazi wanaotaka kuanza maisha mapya ya ujasiriliamali.
i)  Tunawakaribisha wasomi waliokwama kutimiza ndoto zao walijiwekea kupitia elimu zao.
j)   Tuna uwezo wa kukuza uchumi, kuanzia ngazi ya familia, kijiji, kata, wilaya, mkoa hadi taifa.

  • Tunatoa Huduma za ziada za kimaendeleo mfano;
a)   Kwa mtu anayetaka knunua au kujenga fremu za biashara au kufanya mradi
b) Kwa mtu ambaye anataka kununua shehemu ya kujenga vyumba vyya kuishi au kufanya biashara
c) Kwa mtu anayetaka kununua gari la biashara, mradi au kutembelea
d) Kwa mtu anayetaka kuishi maisha mazuri katika kipind hiki ambacho watu wengi wanasema hali ngumu.

  • Tunatoa majibu ya papo kwa hapo kwa mambo yafuatayo;
Elimu, Mafanikio, Mahusiano, Ajira, Maisha Uzazi, Biashara na ndoa. N.k.

NB:

 TUNAWAKARIBISHA VIJANA WENYE MAWAZO CHANYA KUFANYA KAZI  NASI.

No comments:

Post a Comment