·
- Uwanja wa vijana pia unajishughulisha na shughuli za uzalishaji mali kwa kutumia njia mbalimbali kama vile;
a) Kuuza
na kununua mawazo ya biashara (Miradi).
b) Kufanya
biashara za aina mbalimbali na watu ambao wamebanwa na majukumu mengine mfano;
mtu anaweza akatoa pesa zake kiasi chochote tunamzalishia faida kwa mwezi
kuanzia 10% - 15% hadi 20% na mtaji unabakia palepale.
c) Unaweza
ukatoa kitendea kazi mfano gari lenye thamani ya Tsh 4,000,000/= tunakuzalishia
Tsh. 6,000,000/= ndani ya miezi 12 na gari linabakia kuwa letu.
d) Tunaongeza
vipato vya watu kutokana na rasilimali walizonazo au hata kama hana.
e) Tunawasikiliza
watu mahitaji yao ya aina mbalimbali.
f) Tunawaandaa
vijana wanaotaka kuanza maisha ya kujitegemea, pia na kuwachagulia njia sahihi
ya maisha.
g) Tuna uwezo wa kuzigeuza rasilimali za mtu kuwa mtaji.
g) Tuna uwezo wa kuzigeuza rasilimali za mtu kuwa mtaji.
- Tunatoa elimu za aina mbalimbali kama vile;
a) Ujasiriamali
na Uchumi, mkopo na mahusiano.
b) Mchango
wa mradi au biashara.
- Tunatoa Huduma kwenye biashara/miradi kama vile;
i.
Kukagua eneo la mradi au biashara kama
lipo mahali sahihi au sio sahihi.
ii.
Kupima mradi au biashara kama huduma
zake zina viwango au hazina.
iii.
Kupima wafanyakazi wa mradi/ Biashara
kama wanafaa au hawafai.
iv.
Kukagua bidhaa zinazouzwa au kuzalishwa
hapo kama zina viwango au hazina viwango.
v.
Kupima viwango vya huduma vinavyotolewa
kwenye biashara/mradi kama vipo sawa au sio sawa.
- Tunatoa huduma mpya zifuatazo kama vile;
i. Weka pesa, pata pesa ndani ya masaa 24,
siku, wiki, mwezi.
ii. Tunawaandaa watu wanaokaribia kustaafu
kazi na kuwaingiza katika ujasiriamali.
iii. Tunawaandaa watu wanaotarajia kupata
pesa za urithi au pesa amabazo hawajawahi kuzishika kwa pamoja
iv. Tunashughulika na kuwabadilisha watoto
tabia na vijana walioshindikana (Watukutu).
v. Tunamuandaa na mtu anayetakata kuanzisha
mradi mpya au biashara.
- Tunafanya vitu vya tofauti kama vile;
a) Tuna
uwezo wa kuzigeuza changamoto, kua mradi
b )Tunabuni
vyanzo vya mapato, kuanzia mtu binafsi kua mtaji.
c) Tuna
uwezo wa kuzigeuza rasilimali za mtu binafsi kua mtaji.
d) Tuna
uwezo wa kumrudisha mwanandoa aliyekimbia familia yake.
e) Tunatoa
ushahuri juu ya mambo mbalimbali.
f) Tunatafsiri
ndoto mbalimbali.
g) Tunatoa
majibu ya vipaji vya watoto.
h) Tunawakaribisha
wafanyakazi wanaotaka kuanza maisha mapya ya ujasiriliamali.
i) Tunawakaribisha wasomi waliokwama
kutimiza ndoto zao walijiwekea kupitia elimu zao.
j) Tuna uwezo wa kukuza uchumi, kuanzia
ngazi ya familia, kijiji, kata, wilaya, mkoa hadi taifa.
- Tunatoa Huduma za ziada za kimaendeleo mfano;
a) Kwa
mtu anayetaka knunua au kujenga fremu za biashara au kufanya mradi
b) Kwa
mtu ambaye anataka kununua shehemu ya kujenga vyumba vyya kuishi au kufanya
biashara
c) Kwa
mtu anayetaka kununua gari la biashara, mradi au kutembelea
d) Kwa
mtu anayetaka kuishi maisha mazuri katika kipind hiki ambacho watu wengi
wanasema hali ngumu.
- Tunatoa majibu ya papo kwa hapo kwa mambo yafuatayo;
Elimu, Mafanikio,
Mahusiano, Ajira, Maisha Uzazi, Biashara na ndoa. N.k.
NB:
TUNAWAKARIBISHA VIJANA WENYE MAWAZO CHANYA KUFANYA KAZI NASI.
NB:
TUNAWAKARIBISHA VIJANA WENYE MAWAZO CHANYA KUFANYA KAZI NASI.
No comments:
Post a Comment