- Umegundua njia ambayo watanzani wanaweza wakatumia ili waweze kutoka katika hali ngumu ya kiuchumi waliyo nayo watu wengi.
- Umegundua vyanzo mbalimbali ambavyo vinaweza vikatumika ili watanzania wakwamuke hapo walipo au vitu vinavyo sababisha watanzania wakwame.
- Umegundua njia mpya ambayo inaweza kutumika ili Tanzania ingie kwenye uchumi wa kati na nchi ya viwanda.
NI UWANJA WA KUTENGENEZA AJIRA KWA VIJANA NA KUWAWEZESHA KIUCHUMI, PAMOJA NA KUWABORESHEA WASTAAFU MAISHA YAO
Wednesday, September 18, 2019
TANZANIA... TANZANIA
Uwanja
wa vijana umegundua mambo yafutayo;
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment