Wednesday, September 18, 2019

TANZANIA... TANZANIA

Uwanja wa vijana umegundua mambo yafutayo;


  1. Umegundua njia ambayo watanzani wanaweza wakatumia ili waweze kutoka katika hali ngumu ya kiuchumi waliyo nayo watu wengi.
  2. Umegundua vyanzo mbalimbali ambavyo vinaweza vikatumika ili watanzania  wakwamuke hapo walipo au vitu vinavyo sababisha watanzania wakwame.
  3. Umegundua njia mpya ambayo inaweza kutumika ili Tanzania ingie kwenye uchumi wa kati na nchi ya viwanda.

No comments:

Post a Comment