Thursday, September 12, 2019

FAIDA AMBAZO ZITAPATIKANA KWA KUANZISHWA KWA UWANJA WA VIJANA KATIKA SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NI HIZI ZIFUATAZO:-



FAIDA AMBAZO ZITAPATIKANA KWA KUANZISHWA KWA UWANJA WA VIJANA  KATIKA SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NI HIZI ZIFUATAZO:-


  1. Kupunguza swala la uhalifu nchini na kulipunguzia mzigo mkubwa iliyonao Jeshi la Polisi nchini. 
  2. Kupuguza kesi Mahakamani na kuipunguzia Mahakama mzigo.
  3. Kuinua uchumi wa nchi.
  4. Kupunguza ajali za barabarani.
  5. Kusadia serikali kuingiza mapato.
  6. Kupunguza swala la kuvunjika kwa ndoa nchini.
  7. Kupunguza mauaji ya watu wenye Albino kwa imani za ushirikina.
  8. Kupunguza migogoro ya ardhi nchini. Kupunguza ajari za barabaran                               
  9. Kupunguza kwa watu wanao omba omba na watoto mtaani.
  10. Kupunguza kwa mmonyoko wa maadili nchini.
  11. Kuongezeka kwa wawekezaji nchini.
  12. Kuongezeka kwa watalii nchini n.k.
  13. Kupunguza kwa vitendo viovu nchini.
  14. Itazuia upotevu wa pesa zinazotolewa na serikali kwa ajili ya maendeleo ya wananchi nchini, kama zilivyopotea mamilioni ya J.K. sitaruhusu kupotea hata senti 50.
  15. Itawadhibiti wezi wa miundo mbinu ya umeme na barabara hasa  mkoani wa morogoro na mikoa mingine nchini.
  16. Tutawadhibiti watu wanaokimbia na hela za mikopo katika mabenki na taasisi za fedha nchini.


No comments:

Post a Comment