Tuesday, November 26, 2019

UGUNDUZI WA KUONDOKANA NA UMASIKINI


Uwanja wa vijana unao uwezo wa kubuni vyanzo mbalimbali vya mapato kuanzaia ngazi ya mtu mmoja mmoja, familia, ukoo, kijiji, kata, wilaya hadi mkoa.

MWELEKEO WA VIJANA TANZANIA


Uwanja wa vijana unayo majibu juu ya mweelekeo wa wa vijana Tanzania kuanzia mwaka 2019 hadi mwaka 2035.

Wednesday, October 16, 2019

WAKULIMA... WAKULIMA


Uwanja wa vijana umegungua njia mpya  ambazo zitasaidia wakulima wapate masoko ya mazao yao na kupeleka popote duniani  sio kama hivi sasa mazao ya wakulima yanaozeea mashambani na masokoni  na kuwavunja moyo wakulima na kuwanufaisha madalali.

Monday, October 7, 2019

TANZANIA TANZANIA


WAZAZI WAZAZI

Uwanja umegundua njia mpya ambayo inaweza kusaidia kumrekebisha motto mtukutu tabia

TANESCO TANESCO

Uwanja wa vijana umegundua njia mpya ya kumaliza tatizo la wizi wa mafuta ya transifoma mikoa yote ya Tanzania

TANZANIA TANZANIA

Uwanja wa vijana umegundua njia mpya ya kulimaliza swala panya road nchini na wezi wa miundombinu ya barabara vikiwemo vyuma na alama za barabarani.

GARI ZA MWENDO KASI DAR ES SALAAM


Uwanja wa vijana ugundua jinsi ya mapato yanavyo potea kwenye mwendo kasi mamilioni kwa mwezi
Hasa yatakavyo potea kwenye ruti ya mbagala ikianza.
 Pia uwanja wa vijana unazonjia zakutumia ili kuzui upotevu huo

TANGAZO KWA WAFANYA BIASHARA KWA TRA.


a. Zijue faida za kulipa kodi  TRA
b. zijue hasara za kutolipa kodi TRA
c. Jua jinsi ya kupangilia biashara yako ili ujue jinsi ya kulipa kodi.

Na jua jinsi ya kupangilia biashara yako ili ulipe kudi bila kujitia hasara mwenyewe

MADALALI MADALALI

uwanja wa vijana unashirikiana na Madalali wa aina mbalimbali kama vile;

1. Viwanja
2. Nyumba
3. Vyumba
4. Magari
5. Bajaji.
6. Pikipiki.

Kazi zetu zinafanywa tofauti na madalali wengine sisi kazi kwanza malipo baadaye.

Friday, September 20, 2019

OFA,OFA KWA MTU ANAETAKA KUONGEZA KIPATO KWENYE MAISHA NA KUONDOKANA NA UGUMU WA MAISHA BILA KUWA NA MTAJI


Uwanja wa vijana umegundua kuwa kuna watu wamekwama kimaisha lakini mitaji wanayo lakini hawaioni, uwanja wa vijana una uwezo wa kuvigeuza vitu ulivyo navyo vikawa mtaji au ukasaidiwa kuvizalishia na ukapata pesa baadhi ya vitu ulivyo navyo wewe ni pamoja na; uwanja usio jengwa, jengo lisilo isha, nyumba ambayo haujaimaliza, magari yasiyo tembea, bajaji, pikipiki, mashine mbalimbali, mota mbali mbali, una gari lakini halikuingizii chochote zaidi ya kukuchumoa hela zako, unavyombo ndani mpaka vingine unatafuta sehemu pa kuvitupa, na vingine unavyo na unatembea navyo mkononi kila siku baadhi ni pamoja na ; simu, kompiuta, saa, cheni nk.

UTAJIRI..UTAJIRI KWA VIJANA

Uwanja wa vijana umegundua njia ambazo kijana anaweza akazitumia katika kutafuta pesa ili awe tajiri au mtu mwenye mafanikio makubwa au Milionea katika kipindi hiki hiki cha Mheshimiwa.

Wednesday, September 18, 2019

DAR ES SALAAM

Uwanja wa vijana umegundua;
  
Umegundua vyanzo mbali mbali  vya upotevu wa mapato katika miradi ya mkoa wa dar es salaam na umepata njia mpya ambayo ikitumika haita potea hata sent 50.

Wasomi Wasomi Tanzania.


Uwanja wa vijana unayo plani b,ambayo wasomi wanaotoka vyuoni wakitumia wataondokana na tatizo la ajira linalo wakabili  baada ya kumaliza masomo yao.

TANZANIA... TANZANIA

Uwanja wa vijana umegundua mambo yafutayo;


  1. Umegundua njia ambayo watanzani wanaweza wakatumia ili waweze kutoka katika hali ngumu ya kiuchumi waliyo nayo watu wengi.
  2. Umegundua vyanzo mbalimbali ambavyo vinaweza vikatumika ili watanzania  wakwamuke hapo walipo au vitu vinavyo sababisha watanzania wakwame.
  3. Umegundua njia mpya ambayo inaweza kutumika ili Tanzania ingie kwenye uchumi wa kati na nchi ya viwanda.

Monday, September 16, 2019

WAZO JIPYA KWA JIJI LA DAR ES SALAAM.


Wazo jipya kwa jiji la dar es salaam : 

Uwanja wa vijana umegundua njia mpya ambayo inaweza ikatumika kwa swala la boda boda kuingia mjini kwa usalama na amani na kuingizia jiji la Dar Es Salaam Tsh. Milioni 50 kwa siku.

Friday, September 13, 2019

SHUGHULI ZA UZALISHAJI MALI;

·        
  •       Uwanja wa vijana pia unajishughulisha na shughuli za uzalishaji mali kwa kutumia njia mbalimbali kama vile;
a)      Kuuza na kununua mawazo ya biashara (Miradi).
b)    Kufanya biashara za aina mbalimbali na watu ambao wamebanwa na majukumu mengine mfano; mtu anaweza akatoa pesa zake kiasi chochote tunamzalishia faida kwa mwezi kuanzia 10% - 15% hadi 20% na mtaji unabakia palepale.
c)   Unaweza ukatoa kitendea kazi mfano gari lenye thamani ya Tsh 4,000,000/= tunakuzalishia Tsh. 6,000,000/= ndani ya miezi 12 na gari linabakia kuwa letu.
d)     Tunaongeza vipato vya watu kutokana na rasilimali walizonazo au hata kama hana.
e)   Tunawasikiliza watu mahitaji yao ya aina mbalimbali.
f)   Tunawaandaa vijana wanaotaka kuanza maisha ya kujitegemea, pia na kuwachagulia njia sahihi ya maisha.
g) Tuna uwezo wa kuzigeuza rasilimali za mtu kuwa mtaji.

  •  Tunatoa elimu za aina mbalimbali kama vile;
a)      Ujasiriamali na Uchumi, mkopo na mahusiano.
b)      Mchango wa mradi au biashara.

  •  Tunatoa Huduma kwenye biashara/miradi kama vile;
                                                             i.            Kukagua eneo la mradi au biashara kama lipo mahali sahihi au sio sahihi.
                                                             ii.            Kupima mradi au biashara kama huduma zake zina viwango au hazina.
                                                           iii.            Kupima wafanyakazi wa mradi/ Biashara kama wanafaa au hawafai.
                                                           iv.            Kukagua bidhaa zinazouzwa au kuzalishwa hapo kama zina viwango au hazina viwango.
                                                             v.            Kupima viwango vya huduma vinavyotolewa kwenye biashara/mradi kama vipo sawa au sio sawa.

  •  Tunatoa huduma mpya zifuatazo kama vile;
                     i.  Weka pesa, pata pesa ndani ya masaa 24, siku, wiki, mwezi.
                     ii.  Tunawaandaa watu wanaokaribia kustaafu kazi na kuwaingiza katika ujasiriamali.
                    iii.   Tunawaandaa watu wanaotarajia kupata pesa za urithi au pesa amabazo hawajawahi kuzishika kwa pamoja
                    iv.  Tunashughulika na kuwabadilisha watoto tabia na vijana walioshindikana (Watukutu).
                     v. Tunamuandaa na mtu anayetakata kuanzisha mradi mpya au biashara.
  •  Tunafanya vitu vya tofauti kama vile;
a) Tuna uwezo wa kuzigeuza changamoto, kua mradi
b )Tunabuni vyanzo vya mapato, kuanzia mtu binafsi kua mtaji.
c) Tuna uwezo wa kuzigeuza rasilimali za mtu binafsi kua mtaji.
d) Tuna uwezo wa kumrudisha mwanandoa aliyekimbia familia yake.
e) Tunatoa ushahuri juu ya mambo mbalimbali.
f)  Tunatafsiri ndoto mbalimbali.
g)  Tunatoa majibu ya vipaji vya watoto.
h)   Tunawakaribisha wafanyakazi wanaotaka kuanza maisha mapya ya ujasiriliamali.
i)  Tunawakaribisha wasomi waliokwama kutimiza ndoto zao walijiwekea kupitia elimu zao.
j)   Tuna uwezo wa kukuza uchumi, kuanzia ngazi ya familia, kijiji, kata, wilaya, mkoa hadi taifa.

  • Tunatoa Huduma za ziada za kimaendeleo mfano;
a)   Kwa mtu anayetaka knunua au kujenga fremu za biashara au kufanya mradi
b) Kwa mtu ambaye anataka kununua shehemu ya kujenga vyumba vyya kuishi au kufanya biashara
c) Kwa mtu anayetaka kununua gari la biashara, mradi au kutembelea
d) Kwa mtu anayetaka kuishi maisha mazuri katika kipind hiki ambacho watu wengi wanasema hali ngumu.

  • Tunatoa majibu ya papo kwa hapo kwa mambo yafuatayo;
Elimu, Mafanikio, Mahusiano, Ajira, Maisha Uzazi, Biashara na ndoa. N.k.

NB:

 TUNAWAKARIBISHA VIJANA WENYE MAWAZO CHANYA KUFANYA KAZI  NASI.

Thursday, September 12, 2019

UWANJA WA VIJANA UMEPATA UFUMBUZI WA MAMBO YAFATAYO;


UWANJA WA VIJANA UMEPATA UFUMBUZI WA MAMBO YAFATAYO;

  1. Tanzania kuingia kwenye nchi ya viwanda
  2. Tatizo la ajira kwa vijana
  3. Tatizo la vijana kukimbilia mjini hasa jiji la Dar Es Salaam.
  4. Tatizo la migogoro kati ya wakulima na wafugaji.
  5. Tatizo la migogoro ya ardhi nchini.
  6. Tatizo la mfumuko wa bei ya mazao ya chakula nchini.
  7. Tatizo la Ukatili wa kijinsia kwa wanawake na watoto.
  8. Tatizo la ndoa za utotoni
  9. Tataizo la foleni za magari jijini Dar Es Salaam.
  10. Tatizo la kujaa kwa maji na kuziba mifereji jijini dar es Salaa wakati wa mvua.
  11. Tatizo la kuongeza na kupanuka kwa mto msimbazi na kuleta madhara kwa wananchi.
  12. Tatizo la watoto mbwa mwitu au panya Road.
  13. Tatizo la mafuriko nchini na kubomoka kwa madaraja sehemu mbalimbali.
  14. Tatizo la kuvunjika kwa ndoa za vijana nchini.
  15. Tatizo la kuongezeka kwa kesi mahakamani nchini.
  16.  Magereza ya Tanzania yawe na uzalishaji kupitia wafungwa wao.

FAIDA AMBAZO ZITAPATIKANA KWA KUANZISHWA KWA UWANJA WA VIJANA KATIKA SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NI HIZI ZIFUATAZO:-



FAIDA AMBAZO ZITAPATIKANA KWA KUANZISHWA KWA UWANJA WA VIJANA  KATIKA SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NI HIZI ZIFUATAZO:-


  1. Kupunguza swala la uhalifu nchini na kulipunguzia mzigo mkubwa iliyonao Jeshi la Polisi nchini. 
  2. Kupuguza kesi Mahakamani na kuipunguzia Mahakama mzigo.
  3. Kuinua uchumi wa nchi.
  4. Kupunguza ajali za barabarani.
  5. Kusadia serikali kuingiza mapato.
  6. Kupunguza swala la kuvunjika kwa ndoa nchini.
  7. Kupunguza mauaji ya watu wenye Albino kwa imani za ushirikina.
  8. Kupunguza migogoro ya ardhi nchini. Kupunguza ajari za barabaran                               
  9. Kupunguza kwa watu wanao omba omba na watoto mtaani.
  10. Kupunguza kwa mmonyoko wa maadili nchini.
  11. Kuongezeka kwa wawekezaji nchini.
  12. Kuongezeka kwa watalii nchini n.k.
  13. Kupunguza kwa vitendo viovu nchini.
  14. Itazuia upotevu wa pesa zinazotolewa na serikali kwa ajili ya maendeleo ya wananchi nchini, kama zilivyopotea mamilioni ya J.K. sitaruhusu kupotea hata senti 50.
  15. Itawadhibiti wezi wa miundo mbinu ya umeme na barabara hasa  mkoani wa morogoro na mikoa mingine nchini.
  16. Tutawadhibiti watu wanaokimbia na hela za mikopo katika mabenki na taasisi za fedha nchini.