Thursday, May 27, 2021

PONGEZI KWA SERIKALI

 Uwanja vijana unaipongeza serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa kulisimamia vizuri swala zao LA michikichi kwani ni jambo zuri sana Ila ombi langu  kwa watanzania ni kuiunga mkono serikali kwa hayo maono, hiyo ni fursa adimu kwani kila jambo linawezeka chini ya jua mladi tu mwananchi akitoa ushirikiano mzuri kwa serikali yake

No comments:

Post a Comment