Wednesday, May 5, 2021

PONGEZI KWA RAIS SAMIA SULUHU HASSANI KUHUTUBIA BUNGE LA KENYA

 Uwanja wa vijana unakupongeza sana kwa hutuba yako ni nzuri sana kwani nimekusikiliza moja kwa moja kupitia mtandao mpaka mwisho uwanja wa vijana unakutakia maisha marefu ili watanzania tuinuke kiuchumi mungu akubariki sana

No comments:

Post a Comment