Uwanja wa vijana unakupongeza sana kwa kazi yako nzuri na inautofauti kwani Nina uhakika watanzania tutafanikiwa kiuchumi kwani MTU yoyote ambaye anataka kufanikiwa lazima avijue vikwazo na ajue jinzi ya kuviondoa na nawahimiza watanzani wenzangu tumuunge mkono Rais wetu ila nawahimiza sana vijana wafanye kazi kwani nuru imengia Tanzania
No comments:
Post a Comment