Ndoa za vijana nyingi zinakufa kwa kuamini kuwa mapenzi ni pesa
wasichana wengi wana aminikuwa akiolewa na mtu mwenye pesa atapata amani maishani
wavulana nao wanaamini kuwa akitumia pesa kumpata binti mrembo na akamuowa atakuwa na furaha maishani ila mimi siamini hilo naamini upendo ukitawala ndiyo kilakitu.
Je mwenzangu lipi ni sahihi kati ya hayo?
No comments:
Post a Comment