Sunday, January 12, 2020

PESA NA KIJANA

Vijana wengi wanafikiri pesa ndo msingi wa maendeleo lakini mimi naamini pesa sio msingi wa maendeleo bali pesa ni matokeo baada ya mtu kufanya kazi.

JE KIJANA UNADHANI KIPI KIPO SAHIHI KWA MTAZAMO WAKO???

No comments:

Post a Comment