Vijana wengi wakitanzania wana mawazo mgando, kwakuamini kua CV na vyeti ndivyo ambavyo vitamsababisha akapata kazi au kua na maisha mazuri lakini mimi siamini hilo, naamini kuwa utendaji wako wa kazi ndio utakufanya uweze kufanikiwa.
Je kijana wewe unaona kipi kitamsaidia kati ya vyeti na utendaji wa kazi ?
No comments:
Post a Comment