Sunday, January 12, 2020

MALALAMIKO YA VIJANA YASIYOKUA NA TIJA

Vijana wengi wanalalamika kua serikali haijawafanyia kitu au wazazi wao hawawasaidii bila wao kujiuliza kuawameifanyia nini serikali yao au wamewafanyia nini wazazi wao.

 Mfano;

1. Serikali imewaambia vijana wajiunde vikundi vidogovidogo vya uzalishaj mali ili wapate mkopo, vijana hao hao hawataki kujiunda vikundi ila Pesa wanazitaka.

2. Utamkuta kijana mzazi wake ni mfugaji  lakini mtoto wake hataki kumsaidia mzazi wake kufuga kisasa, mzazi wake anafikia hatua ya kumuajiri mtu wakat mtoto wake yupo.

No comments:

Post a Comment