Thursday, February 13, 2020

VIJANA WALIO KOSA AJIRA NA WAMESOMA

Vijana walio kosa ajira na wamesoma tatizo lao ni kushindwa kufikirisha akili zao.
Na wasije wakafikiria kuwa na elimu ndio mwisho wa maisha bali elimu ni nyenzo rahisisho ambayo inaweza ikakusaidia kujitofautisha wewe na mtu ambaye hajasoma,
Hata kama wote mnauza genge lakini genge la msomi lazima liwe tofauti.

No comments:

Post a Comment