Thursday, May 27, 2021

PONGEZI KWA SERIKALI

 Uwanja vijana unaipongeza serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa kulisimamia vizuri swala zao LA michikichi kwani ni jambo zuri sana Ila ombi langu  kwa watanzania ni kuiunga mkono serikali kwa hayo maono, hiyo ni fursa adimu kwani kila jambo linawezeka chini ya jua mladi tu mwananchi akitoa ushirikiano mzuri kwa serikali yake

Monday, May 24, 2021

UBUNIFU WENYE MATOKEO CHANYA

 Uwanja wa vijana umebuni njia mpya ambayo inaweza kuziondoa changamoto zinazo wakumba vijana na watanzania  Mfano ajira,kilimo,biashara,hali ngumu ya maisha,mfumuko wa bei za vitu mbalimbali,n.k

Thursday, May 13, 2021

PONGEZI KWA SERIKALI

 Uwanja wa vijana unaipongeza serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa kulifanyia upya swala la wamachinga kufanya biashara zao bila mpangilio kwani imekuwa kero sana,kwani hata familia isiyo na mpangilio ukiowa au kuolewa nayo utajuta,kufanya biashara haikatazwi  Ila kwa hili limefika mwisho  japo wengine wasio na jicho LA tatu watalaumu nibora lawama kuliko mathara yanayo jitokeza na yatakayo jitokeza hasa kwa jiji LA Dar,es salaamu Mimi nipo hapa kwa mda was miaka 26  iliyo pita

Wednesday, May 5, 2021

PONGEZI KWA RAIS SAMIA SULUHU HASSANI KUHUTUBIA BUNGE LA KENYA

 Uwanja wa vijana unakupongeza sana kwa hutuba yako ni nzuri sana kwani nimekusikiliza moja kwa moja kupitia mtandao mpaka mwisho uwanja wa vijana unakutakia maisha marefu ili watanzania tuinuke kiuchumi mungu akubariki sana

Monday, May 3, 2021

PONGEZI KWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

 Uwanja wa vijana unakupongeza sana kwa kazi yako nzuri na inautofauti kwani Nina uhakika watanzania tutafanikiwa kiuchumi kwani MTU yoyote ambaye anataka kufanikiwa lazima avijue vikwazo na ajue jinzi ya kuviondoa na nawahimiza watanzani wenzangu tumuunge mkono Rais wetu ila nawahimiza sana vijana wafanye kazi kwani nuru imengia Tanzania