Thursday, April 1, 2021

NANI KAMA MAMA?

-Hakuna kama mama duniani

-Vyovyote alivyo mama no mama

-Hakuna mama bandia

1.UPANDE WA MAFANIKIO

-Hakuna mwaume aliyefanikiwa bila kuwepo mwamke nyuma take

-Mwanamke anaweza bila kuwezeshwa Bali mradi apewe nafasi

-Mungu alimuamini mwanamke kubeba mimba miezi 9

-Ili mtu ufanikiwe mambo yako hapa duniani lazima msikilize mama

2.MAMBO YA NDOA

-mwanamke yupo tayari kuomba msamaha kwa mwenzake kuliko mwanaume

-mama yupo tayari kufa na mwanae lakini baba hayupo tayari

-Wanaume wengi wanakufa mapema kuliko wanawake kwasababu wana yabeba mambo mengi moyoni kuliko wanawake

-

No comments:

Post a Comment