-Hakuna kama mama duniani
-Vyovyote alivyo mama no mama
-Hakuna mama bandia
1.UPANDE WA MAFANIKIO
-Hakuna mwaume aliyefanikiwa bila kuwepo mwamke nyuma take
-Mwanamke anaweza bila kuwezeshwa Bali mradi apewe nafasi
-Mungu alimuamini mwanamke kubeba mimba miezi 9
-Ili mtu ufanikiwe mambo yako hapa duniani lazima msikilize mama
2.MAMBO YA NDOA
-mwanamke yupo tayari kuomba msamaha kwa mwenzake kuliko mwanaume
-mama yupo tayari kufa na mwanae lakini baba hayupo tayari
-Wanaume wengi wanakufa mapema kuliko wanawake kwasababu wana yabeba mambo mengi moyoni kuliko wanawake
-
No comments:
Post a Comment