Wednesday, July 15, 2020

NANI KAMA HAYATI JOHN POMBE MAGUFULI?


      JOHN POMBE MAGUFULI aliapishwa kuwa Rais wa tano katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Novemba 5,2015.hadi kufikia Jul 11.2020 siku ambayo alipigiwa kura za  maoni kuomba nafasi nyingine anatimiza siku 171O
Napo alipita kwa kishindo kwa aslimia 100%
Naomba nikueelezee baathi za kazi alizo zifanya kipindi hicho kifupi
  1. kudumisha amani.usalama na utulivu nchini
  2. kafanikisha serikali kuhamia dodoma
  3. kajenga Reli ya kisasa(SGR)
  4. kajenga viwanda
  5. kanunua ndege
  6. kajenga barabara juu sehemu za Ubungo.Tazara na mataa ya chang’ombe inaendelea kujengwa
  7. kajenga bwawa la umeme rufiji la nyerere
  8. bandari mpya zimeongezwa
  9. sheria za madini zimebadilishwa \
  10. kafanikisha Tanzania kuingia katika uchumi wa kati
  11. kafanikiwa kurejesha mali za uma
  12. Kaweza kupambana na rushwa na kuwakamata watuhumiwa nakuwafunga jele watuhumiwa
  13. Elimu bila maripo
  14. vituo vya afya na zahanati zimeongezwa
  15. barabara za lami zimejengwa kila sehemu hata kwetu kiwalani tunpita kwenye lami na mataa yanawaka
  16. umeme mpaka vijijini umefika
  17. kuweza kukusanya mapato makubwa ambayo hayajawai kutokea tangu nchi ipate uhuru
  18. kafanikiwa kupunguza wizara
  19. kupunguza uingiaji wa madawa ya kuleevya nchini
  20. kuwaachisha kazi watu wenye vyeti feki
  21. kajenga mashule mengi nchini
  22. kafanikiwa kuzibiti mfumuko wa bei nchini
  23. kilimo kimeongezeka na mavuno yameongezeka mazao ya chakula
  24. kaongeza watumishi wa afya
  25. kafanikiwa kupunguza umasikini nchini
  26. kafanikiwa kusamehe wafungwa
  27. kafanikiwa kujenga mahakama za mafisadi
  28. kafanikiwa kufuta kesi za mahabusu nchini
  29. kafanikisha kutoa vitamburisho vya wamachinga nchini
hizi ni baathi za kazi alizo zifanya aliyekuwa Rais wetu mpendwa hayati DK JOHN POMBE
 MAGUFULI
Baba safari yako ni nyeupe sana kwani watu wamejionea wenyewe watu wanavyo kulilia Uwanja wa vijana unakutakia pumuziko lili jema kwani kazi ya mungu haina makosa

No comments:

Post a Comment