Thursday, September 16, 2021

PONGEZI KWA MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM

 Uwanja wa vijana unakupongeza Sana kwa kazi zako unazo zifanya kwani maono uliyo nayo Nina uhakika Dar es salaam itarudi katika ubora wake na maneno yako yamenyooka tofauti na wengine wanapindisha maneno uwanja wa vijana unakuunga mkono na mungu akubariki sana

No comments:

Post a Comment