Wednesday, June 30, 2021

PONGEZI KWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

 Uwanja wa vijana unakupongeza sana kwa kazi zako nzuri unazo zifanya tunakuombea kwa mungu akulinde akupe hekima kwa kila jambo utakalo liamua tunajua kazi ya uongozi sio kazi nyepesi lakini tunaona unatuongoza vizuri hata hutuba zako vinamvutia mtu aendelee kukusikiliza

No comments:

Post a Comment