Wednesday, July 14, 2021

TANZANZANIA ITAJENGWA NA WATANZANIA

 Uwanja wa vijana unawasisitiza WATANZANIA kuwa nchi inajengwa na sisi wenyewe tukionyesha ushirikiano wetu kwa serikali katika kufanya kazi,kulipa Kodi,kulinda miundo mbinu pia kumuombea Rais wetu mpendwa  tutafika mbali bila ya hivyo hatutafika kwani Rais wetu mpendwa yupo vizuri Sana Ana rengo zuri la kutufikisha pazuri lakini anahitaji ushirikiano wetu

No comments:

Post a Comment