Monday, March 16, 2020

HABARI NJEMA KWA WATU WANAOTAKA KUANZISHA BIASHARA, MRADI AU KUTAKA KUBUNI, KUBORESHA MRADI AU BIASHARA WATASAIDIWA BURE.

Uwanja wa vijana utakusaidia  bure kwa mambo yafuatayo ili mtu asije akapata hasara  katika biashara yake kabla haijaanzishwa au imeanzishwa tayari baadhi ya mambo yenyewe ni haya yafuatayo;

1. kubuniwa mradi au biashara ambao hautaweza kukupa hasara.

2. Kukutafutia sehemu ya kuweka mradi wako au biashara yako.

3. Kukufanyanyia mchanganuo wa mradi au biashara yako.

4. Kukupa majibu au muelekeo wa biashara yako au mradi wako          kama upo hai au umekufa.

5. Kukufanyia mchanganuo wa mkopo unaohitajika kwenye                biashara yako au mradi wako ili usije ukapata hasara katika              marejesho yako.

6. Kukuelezea mambo ya kuzingatia kuyafanya kabla hujaanzisha        biashara au mradi.

7. Tutakusaidia kurasimisha (kusajili) mradi wako au biashara              yako.

8. Tutakusimamia biashara au mradi wako na tutakupa ushahuri          bure kabisa ndani ya miezi sita ya mwanzo.

9. Tutakusaidia kukutafutia soko la bidhaa zako.

10. Tutakukagulia huduma yako kama inaviwango vinavyohitajika        au haina viwango.

11. Tutakusaidia kukupa mbinu za kushinda kwenye soko la                  ushindani katika eneo unalofanyia biashara au mradi.

No comments:

Post a Comment