Tuesday, May 12, 2020

HABARI NJEMA KWA MTU ANAYETAKA KUONGEZA KIPATO KATIKA KIPINDI CHA MTIKISIKO WA UCHUMU DUNIAN.


Uwanja wa vijana unazo njia mbili ambazo mtu anaweza akazitumia kuimarisha uchumi wake katika kipind hiki.

Pia anaweza akabuniwa mradi ambao utaendana na yeye jinsi alivyo kwa mtaji mdogo sana, pia kwa watu wanaotaka kuzalisha mali akiwa kazini pia anaweza kusaidiwa. 

Kwa watu walioachishwa kazi au wameyumba kimaisha pia wanaweza kutengenezewa kitu cha kufanya kuendana na hali yake aliyonayo zingine hata za mtaji kuanzia Tsh. 10000/=.

No comments:

Post a Comment