uwanja wa vijana umegundua swala la kuolewa au kuto olewa lipo mikononi mwa mtu mwenyewe ila usije ukatamani kuelewa kwa kukurupuka kwani ni bora kuchelewa kuriko ukawai na ukakutana na mume asiyejua wajibu wake kwa mke kwani sio kila mwanaume anafaa kuwa mume wa mtu kila mtu hapa duniani anamtu wake kuwa
No comments:
Post a Comment