Monday, May 20, 2024

KUVUNJIKA KWA NDOA ZA VIJANA NCHINIJ

uwanja wa vijana umegundua kuwa ndoa za vijana nchini kuvunjika kunatokana na vijana wa kiume kuowa.wake.ambao hawana.sifa.za.kuwa.mke.na.kingine.vijana.wa.kiume.wanakuwa.hawajaamua kuowa kutoka moyoni na hata wakimpata mke sahihi bado wanahuwa hawana msimamo kwani mwanamke anatengenezwa ni wewe kuamua.moja kwani talaka sio jibu ya tatizo bali ni kuongeza tatizo

No comments:

Post a Comment