NI UWANJA WA KUTENGENEZA AJIRA KWA VIJANA NA KUWAWEZESHA KIUCHUMI, PAMOJA NA KUWABORESHEA WASTAAFU MAISHA YAO
Monday, May 20, 2024
SWALA LA KUOLEWA
uwanja wa vijana umegundua swala la kuolewa au kuto olewa lipo mikononi mwa mtu mwenyewe ila usije ukatamani kuelewa kwa kukurupuka kwani ni bora kuchelewa kuriko ukawai na ukakutana na mume asiyejua wajibu wake kwa mke kwani sio kila mwanaume anafaa kuwa mume wa mtu kila mtu hapa duniani anamtu wake kuwa
KUVUNJIKA KWA NDOA ZA VIJANA NCHINIJ
uwanja wa vijana umegundua kuwa ndoa za vijana nchini kuvunjika kunatokana na vijana wa kiume kuowa.wake.ambao hawana.sifa.za.kuwa.mke.na.kingine.vijana.wa.kiume.wanakuwa.hawajaamua kuowa kutoka moyoni na hata wakimpata mke sahihi bado wanahuwa hawana msimamo kwani mwanamke anatengenezwa ni wewe kuamua.moja kwani talaka sio jibu ya tatizo bali ni kuongeza tatizo
HABARI NJEMA KWA VIJANA
uwanja wa vijana umegundua mkwamo wa vijana katika swala la ajira linasababishwa na kijana mwenyewe kwani kijana akiamua kubadirika yeye na kubadirisha mtizamo na marafiki mafanikio lazima utayaona
Subscribe to:
Posts (Atom)