Sunday, October 10, 2021

WAFANYA BIASHARA WALIOKUWA WANAKWEPA KULIPA KODI SASA HAWATAWEZA KUKWEPA TENA

kuanzishwa kwa zoezi la kuwaondoa wamachinga sehemu zote ambazo sio lasmi itakuwa ni njia mojawapo itakayo itasaidia serikali kupata kodi ambazo zilikuwa zinaishia mifukoni kwa wajanja kwani haiwezikani vitu vikawa vinaingia madukani na haohao wenye maduka wanasema hatuuzi wanaouza ni hao wamachinga ambao hawalipi kodi hiyo haiwezekani kabisa

No comments:

Post a Comment