NI UWANJA WA KUTENGENEZA AJIRA KWA VIJANA NA KUWAWEZESHA KIUCHUMI, PAMOJA NA KUWABORESHEA WASTAAFU MAISHA YAO
Sunday, October 10, 2021
WAFANYA BIASHARA WALIOKUWA WANAKWEPA KULIPA KODI SASA HAWATAWEZA KUKWEPA TENA
kuanzishwa kwa zoezi la kuwaondoa wamachinga sehemu zote ambazo sio lasmi itakuwa ni njia mojawapo itakayo itasaidia serikali kupata kodi ambazo zilikuwa zinaishia mifukoni kwa wajanja kwani haiwezikani vitu vikawa vinaingia madukani na haohao wenye maduka wanasema hatuuzi wanaouza ni hao wamachinga ambao hawalipi kodi hiyo haiwezekani kabisa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment