NI UWANJA WA KUTENGENEZA AJIRA KWA VIJANA NA KUWAWEZESHA KIUCHUMI, PAMOJA NA KUWABORESHEA WASTAAFU MAISHA YAO
Tuesday, May 12, 2020
KAZI ZA MKATABA.
Uwanja wa vijana unao uwezo wa kufanya kazi za mkataba na mtu kwa mfano, unanunua kitendea kazi chenye thaman ya Tsh. 1000000/= unarudishiwa Tsh. 1500000/= ndani ya Miezi Mitano au sita.
USULUHISHI AU MAPATANISHO.
Uwanja wa vijana unatoa huduma bure kusuluhisha ,migogoro ya aina mbalimbali pia inatoa upatanisho wa aina mbalimbali.
Kwa wana Ndoa uwanja wa vijana unaziboresha ndoa ambazo zimefikia hali ya mahututi bureee.
Kwa wana Ndoa Waliokimbia nyumba zao. uwanja vijana unazo njia za kuwarudisha hata kama haonekani atarudi mwenyewe nyumbani awe Baba Awe Mama
HABARI NJEMA KWA MTU ANAYETAKA KUONGEZA KIPATO KATIKA KIPINDI CHA MTIKISIKO WA UCHUMU DUNIAN.
Uwanja wa vijana unazo njia mbili ambazo mtu anaweza akazitumia kuimarisha uchumi wake katika kipind hiki.
Pia anaweza akabuniwa mradi ambao utaendana na yeye jinsi alivyo kwa mtaji mdogo sana, pia kwa watu wanaotaka kuzalisha mali akiwa kazini pia anaweza kusaidiwa.
Kwa watu walioachishwa kazi au wameyumba kimaisha pia wanaweza kutengenezewa kitu cha kufanya kuendana na hali yake aliyonayo zingine hata za mtaji kuanzia Tsh. 10000/=.
Subscribe to:
Posts (Atom)