Wednesday, June 4, 2025

TRA NAWAPONGEZA WA HILI

Uwanja wa vijana unawapongeza TRA kwa kuamua kila anayefanya.biashara.alipe.kodi.kariakoo.isipo.pangwa.upya.watu.wengine.hawataripa.kodi.kuna.baarhi.ya.watu.wanalipa.kodi.lakini.hela.zinaishia.mikononi.mwa.wajanja.zaidi.ya.milioni 20000.kwa.siku.zinapotea.zinaingia.mifukoni.mwa.watu.pia.na.jiji.la.dare es salaam linapoteza zaidi ya milioni 20 kwa siku nazo zinaishia kwa wajanja chunguzeni majibu.mutapata.majibu.yangu.ninayo

Monday, June 2, 2025

DAR E S SALAAM NI HATARI KWA MAENDELEO YA VIJANA TANZANIA

Uwanja wa vijana umegunduwa ya kuwa mkoa wa Dar es salaam ndio unapokea vijana wengi kuriko mikoa yote.ya Tanzania hivyo maisha yao yatakuwa ni magumu sana dawa yake ninayo

Tuesday, May 13, 2025

MSONGAMANO WA MAGARI JIJI LA DAR ES SALAAM

Uwanja wa vijana ulitoa waxo la kupunguxa msongamano wa magari mwaka 2014 lakina kuna watu walilichukuwa wazo rangu na kulifanyia kazi ila hadi leo wajapata ufumbuzi wa jambo hilo ila uwanja wa Vijana unao majibu wa jambo hilo

TATIZO LA ONGEZEKO LA WATU JIJI LA DAR ES SALAAM

Uwanja wa vijana umegundua.ya kuwa kama swala la kupunguza watu kuja njini lisipo angariwa kwa jicho la tatu hasa vijana umasikini.utaongezeka.nchini.Uwanja.wa.vijana.unayo.njia.ya.kupunguza.vijana.mjini

Tuesday, February 11, 2025

TASAFFU INAMSAADA?

Uwanja.wa.vijana.umegundua.kuwa msaada unaotolewa na Tasaffu kwa kaya masikini ni amsaada mkubwa ila watu hawajui njia za kuondokana na umasikini ila wao wana amini kuwa hawawezi kuondokana na umasikini walio nao kumbe umasiki wa mtu ni mtu mwenyewe kuwa na mawazo hasi badala ya chanya baathi yao msaada huo hauwasaidii bali unaendelea kuwatia umasikini kutokana na wao hawapo tayari kubadirika

Tuesday, January 21, 2025

MAMBO MAGUMU

Uwanja wa vijana umegundu kuwa watu wengi hawajui sababu zinazo.sababisha mambo yawe magumu kuanzia mf=ndoa,biashara,kazi,maisha,uchumba,kuvunjika kwa ndoa,kutopatikana suluhisho la msongamano wa magari jiji ĺa dar es salaam,,vijana kukimbilia mjini,tatizo la ajira kwa vijana uwanja wa vijana unao majibu

Monday, December 23, 2024

KUVUNJIKA KWA NDOA ZA VIJANA

Uwanja wa vijana umegundua kuwa ndoa nyingi za vijana zinavunjika kwa sababu hawaoi.bali.wanaona,wavurana wengi wanao wake za watu.na.wasichana.wanaolewa.na.wanaume.ambao.hawa.wapendi